vigezo na masharti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vigezo na masharti kuzingatiwa!

    Kama we ni mwanaume mweupe, una miaka 32-35 una kazi ya kuajiliwa, mkristu,huna UKIMWI,wala UTI sugu, huna familia upo mkoa wa Ruvuma nicheki inbox tuyajenge. Karibu nimechoka kuwa single, na uwe mu hand some.
  2. Wanufaika wa Samia Scholarship vigezo na masharti yake yakoje kuipata?

    Hii scholarship inamaana si mkopo sio? Inakuwaje mpaka uipate? Wizara ya Sayansi na Technolojia inapata wapi majina ya wanaostahili kuomba hii scholarship? Ebu wale walionufaika watujuze!
  3. Elimu ya talaka, namna ya kudai talaka, vigezo na masharti ya kuandika talaka

    Habari za Leo wanajforum? Tafadhari, naomba tupeane elimu ya talaka hapa jamvini. Elimu ya talaka ni muhimu sana lakini bado haitolewi vya kutosha, tangu nisome elimu yangu, sikuwahi kukutana na mada ya kutalikiana kwa wanandoa, huenda ni elimu ya watu wazima tu. Lakini hatuna budi kujifunza...
  4. SoC04 Vigezo na Masharti ya kushiriki katika Shindano la Stories of Change - 2024

    Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’. Mshiriki atatakiwa kutaja jina halisi endapo ataibuka MSHINDI. Mshiriki anatakiwa kutayarisha andiko linaloelezea TANZANIA...
  5. Unapokwenda kuomba mkopo bank unakumbuka kusoma vigezo na masharti?

    Poleni sana ndugu zangu, naona maisha yamewapiga sana mpaka nafikiria kufungua miradi mingine niwaajiri wote. Tuachane na hayo, leo nilikuwa kwenye bank moja nikashuhudia kitu cha kushtua kidogo, jamaa alikuwa anajaza form ya mkopo, yaani hasomi terms and conditions yeye anaoneshwa saini hapa...
  6. Washirika wenzangu wa Shindano la Stories of Change 2023 mnafuata vigezo vilivyowekwa kweli? Milioni 20 sio mchezo ujue!

    Kama tunavyojua mchongo ushaanza na nimeona kuna milioni 20 za kubeba. Watu tunaotaka kuchota hizi milioni 20 tunafata vigezo kweli au mnafikiri ni kazi rahisi kuzipata? Mtu unaandika tu ovyo ovyo kama uropoka, vigezo hufati halafu unajiwekea asilimia za kushinda! Kuna baadhi ya Vigezo na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…