MHADHARA (102)✍️
Mpaka sasa kuna makampuni makubwa yana "Wasimamizi na Maafisa waajiri wa hovyo" ambao wanaajiri wanawake wenye sura nzuri (warembo) na makalio makubwa hata kama wana changamoto ya vigezo vya kitaaluma.
Wanawake ambao wana "sura za baba zao" na wasiokuwa na makalio makubwa...