Mimi NI mwalimu idara ya elimu Sekondari kwa zaidi ya miaka 12, Nilijiendeleza na kuhitimu kwa ngazi ya PGDE. Kabla ya ngazi hii, nilijiendeleza na kuhitimu shahada ya Uongozi na Utawala.
Kabla ya shahada hii ya Uongozi, nilikuwa na diploma ya ualimu. Je, naweza kuwa na vigezo kuhamia chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.