Kama tittle inavyoeleza mimi sijasoma hata basic driving ila naomba msaada kama nijuzwe toka kwa wanaojua kama kuna uwezekano wa kusoma na kupata madaraja ya c1, c2 au c3 bila kupitia hiyo basic driving? Hii ni kwa manufaa yangu binafsi pia kwa wenzangu wasiojua kama mm.
NAOMBA KUWASILISHA🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.