vijana kujiajiri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Pre GE2025 Zanzibar: Serikali yatoa Tsh 209 milioni kama mikopo ili kuwezesha vijana wa Kizanzibari kujiajiri

    Wakuu, Kama hivi haya ndo maandalizi ya Uchaguzi au nini? ====================================================== Serikali imetoa Sh209 milioni kwa vikundi 18 vya vijana ili kusaidia ujasiriamali na biashara kupitia asilimia 10 ya mapato ya Serikali za mitaa. Vikundi hivyo, vyenye wanachama...
  2. Nyendo

    Pre GE2025 Wanasiasa wanataka hadi kutoana roho wakitafuta madaraka ila wanasema siasa hailipi vijana mkajiajiri, kama ni kweli mbona hawaachani nayo?

    Nimepta kwenye nyuzi nyingi za wakati huu wa kuelekea uchaguzi na zile za zoezi la kujiandikisha unaona kabis namna Wanasiasa walivyo na uchu na madaraka, wanaonesha jinsi gani kuna fursa huko ndio maana hadi wanataka kutoana roho. Ila sasa wakitoka hapo utawasikia ooo Siasa hailipi, siasa...
  3. Loading failed

    Kama kweli elimu ni ufunguo wa maisha ni kwanini vijana wengi wanashindwa kutumia elimu kujiajiri kama wanavyo shurutishwa kujiajiri?

    Kumekua na sintofahamu huko duniani inayoonekana vijana wengi wasomi wakisota mitaani kwa ugumu wa maisha kuliko vijana ambao hawajaenda shule au ambao siyo wasomi wa kiwango cha juu . Wapo vijana waliowacheka wenzao kwa kufeli shule huku wao wakifurahia kufaulu na kuendelea na masomo na baada...
  4. Nyendo

    Kipande cha keki ya taifa kinakufikia au wote tuvizie fomu?

    Tunaimbiwa wimbo wa nchi yetu kuwa na maendeleo ya kila uchwao huku tukisikia taarifa kuwa uchumi unapanda, wengine tukisikia tunajua huenda keki ya Taifa itafika na kwetu angalau tuache kupiga miayo tukiiwaza siku itaishaje baada ya asubuhi na mchana kupita pakavu yaani bila bila. Cha ajabu...
  5. milele amina

    Mnawaambia vijana wajiajiri wakati nyie mmeshindwa kujiajiri mmeomba Ubunge

    Tega sikio msikilize! Mnawaambia vijana hawana ajira wajiajir wakati nyie mmeshindwa kujiajri mmeomba ubunge, wote hapa mmeshindwa kujiarijiri wengine ni Maprofesa mmo humu, mmeomba ajira kwa wananchi ya Ubunge. Pia soma: Viongozi wanavyosema kila siku vijana wajiajiri, kuna hata mmoja kati...
Back
Top Bottom