Wakuu,
Kama hivi haya ndo maandalizi ya Uchaguzi au nini?
======================================================
Serikali imetoa Sh209 milioni kwa vikundi 18 vya vijana ili kusaidia ujasiriamali na biashara kupitia asilimia 10 ya mapato ya Serikali za mitaa. Vikundi hivyo, vyenye wanachama...
Nimepta kwenye nyuzi nyingi za wakati huu wa kuelekea uchaguzi na zile za zoezi la kujiandikisha unaona kabis namna Wanasiasa walivyo na uchu na madaraka, wanaonesha jinsi gani kuna fursa huko ndio maana hadi wanataka kutoana roho.
Ila sasa wakitoka hapo utawasikia ooo Siasa hailipi, siasa...
Kumekua na sintofahamu huko duniani inayoonekana vijana wengi wasomi wakisota mitaani kwa ugumu wa maisha kuliko vijana ambao hawajaenda shule au ambao siyo wasomi wa kiwango cha juu .
Wapo vijana waliowacheka wenzao kwa kufeli shule huku wao wakifurahia kufaulu na kuendelea na masomo na baada...
Tunaimbiwa wimbo wa nchi yetu kuwa na maendeleo ya kila uchwao huku tukisikia taarifa kuwa uchumi unapanda, wengine tukisikia tunajua huenda keki ya Taifa itafika na kwetu angalau tuache kupiga miayo tukiiwaza siku itaishaje baada ya asubuhi na mchana kupita pakavu yaani bila bila.
Cha ajabu...
Tega sikio msikilize!
Mnawaambia vijana hawana ajira wajiajir wakati nyie mmeshindwa kujiajri mmeomba ubunge, wote hapa mmeshindwa kujiarijiri wengine ni Maprofesa mmo humu, mmeomba ajira kwa wananchi ya Ubunge.
Pia soma:
Viongozi wanavyosema kila siku vijana wajiajiri, kuna hata mmoja kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.