Hello!
Naongelea ajira wazi kwa wazazi hadi sasa ambazo zipo wazi hadi sasa duniani kwa watoto wetu. Usimlazimishe mtoto wako apate A class ambazo hazina maana mbeleni maisha mwake; Cheki na hizi ajira huwa hazijai.
1. Boxing: Ajira hii kama unamuona mtoto wako anakipaji cha hii kitu anza...
Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!
Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!
Tumekimbilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.