Watu wamekata tamaa,hakuna Tena kuhoji na kuibana serikali katika masuala ya msingi Tena!
Vijana wamemaliza vyuo tangu 2015, hakuna ajira !! Hata zile za walimu hasa wa Sanaa,vijana hatuhoji Tena Hilo!? Madaktari wamejaa mitaani ila hospital hawapo wa kutoshaa hatuhoji Hilo Tena!!
Tumekimbilia...