vijana na mapenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Vijana wa umri mdogo kujihusisha kimapenzi na watu wazima chanzo ni nini?

    sio wa kike wala wakiume, wamekomaa mno. unadhani wamekomazwa na nani, wapi? Kabinti kanang'ang'ana na lizee jitu zima na kakijana kanang'ang'ana na jimama jitu zima.. Ni nini hasa chanzo cha hali hili isiyo ya kimaadili wala isiyo ya kawaida inayosikitisha sana mapenzini katika jamii?🐒
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…