vijana wa chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Watchman

    SI KWELI Mahinyila asema vijana wa CHADEMA wanafanya mambo ya kihalifu, wakikamatwa wanataka chama kiseme wametekwa na watu wasiojulikana

    Wakuu hii ni kweli kuwa Mahinyila amesema vijana wa CHADEMA wanafanya mambo ya kihalifu, wakikamatwa wanataka chama kiseme wametekwa na watu wasiojulikana?
  2. Escrowseal1

    Nimeguswa na mambo 2 katika mchakato wa BAVICHA

    Binafsi si mwanachadema ila kipindi hiki nimefuatilia michakato ya chadema kuliko wakati mwingine wowote. Moja ya suala lililonifikirisha ni jinsi gani hawa vijana wadogo wanavyokuwa damaged na mambo yanayotokea hasa kijana Deogratius Mahinyila alipotaja kuwa alikuwa mwanasheria wa Deusdedith...
  3. Pang Fung Mi

    Hotuba ya John Pambalu kwenye Uchaguzi wa BAVICHA ni Ishara Vijana wa CHADEMA choka Mbaya

    Ukisikiliza quotes za kujifariji za kijana wa CHADEMA John Pambalu kwenye Uchaguzi wa BAVICHA, inaonesha hali mbaya sana ya hawq vijana wa CHADEMA anafanya quotations za watu maarufu ambao kwa sasa wako kuzimu na hawewezi kumtia tumaini lolote huku dubwana na beberu Mbowe likiwa meza kuu...
  4. Erythrocyte

    LGE2024 Vijana wa CHADEMA Waingia mitaani Kuhamasisha Wananchi kujiandikisha

    Hili ni jambo ambalo baadhi ya Wale wengine wamenuna. Vijana hawa wanafanya kazi hii iliyopaswa kufanywa na TAMISEMI huku Waziri wa Wizara hiyo akizunguka na Diamond huko Ikwiriri wakitafuta Eneo la kujenga Ukumbi wa Burudani. Soma Pia: Wito kwa Vijana wote wa Tanganyika, kujiandikisha...
  5. milele amina

    Kamata kamata ya Vijana: Niwakumbushe CCM, Vijana wa CHADEMA wa leo ndilo Taifa la Kesho

    Viongozi wa Chadema, mnao wateka, kuwakamata, kuwafunga, na kuwanyanyasa watu leo. Katika mazingira haya ya kisiasa, ni muhimu kutambua kwamba vitendo hivi vinaathiri sana demokrasia yetu. Kila hatua tunayoichukua sasa ina umuhimu mkubwa kwa Taifa la kesho. Tunapaswa kujenga mazingira ya...
  6. Idugunde

    Nakubalika hadi na vijana wa CHADEMA japokuwa huwa wanadhani mimi kada wa CCM

    Mara kwa mara nikikutana nao baa wanauliza braza Idu 2025 utachukua fomu? Idu wewe pamoja na kuwa kada wa CCM tunakukubali sana. Mimi huwa nawapa ukweli. Mimi sio kada bali msema kweli. Hoja zangu sio za kujipendekeza bali kueleza ukweli kwa manufaa ya umma. Bro Idu mbona unabadili Kaunda suti...
  7. Idugunde

    Picha: Kipenzi cha vijana wa CHADEMA. (BAVICHA) Wanamkubali kinyama.

  8. Erythrocyte

    Pre GE2025 BAVICHA yaanza kuogopwa na watawala, Polisi watumika kuwakamata ili kuzuia wasihudhurie siku ya vijana duniani itakayofanyika Mbeya

    Sasa ni dhahiri kwamba Uhai wa ccm uko mikononi mwa Jeshi la Polisi pekee, hii imedhihirika rasmi baada ya Jeshi hilo kuanza kuzuia Vijana wa Chadema kuhudhuria maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani yanayofanyika Mbeya Ifahamike kwamba maelfu ya vijana wa Kitanzania wanakusanyika Mbeya kwa...
  9. Determinantor

    Imebainika kuzuia Kongomano la Vijana wa CHADEMA Mbeya ni kuzuia Mh Mbowe asijibu hoja feki za Msigwa

    TAYARI imebainika, woga wao ni kuzuia Mhe. Mbowe asitumie jukwaa rasmi ili kuulezea ulimwengu uhuni na wepesi wa hoja za mwana CCM Msigwa. CCM wanatumia Polisi na Msajili ili kumlinda Msigwa, Yaani CCM wanatangaza vita kisha wanakufunga mikono ili usijibu mapigo. Kama mnajiamini Sana na huyo...
  10. L

    Ushauri wangu kwa vijana wa CHADEMA mlioingia kwenye siasa hivi karibuni kimihemko

    Natoa ushauri kwenu kwa nia nzuri tu, mkitaka chukueni msipotaka endeleeni na harakati zenu, mimi nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii wakati nikiwa form 2 mwaka 1992, enzi hizo ndio kumepamba moto siasa za vyama vingi yaani democratization process. Hali ilikuwa moto kipindi kile, chama chenye...
  11. Erythrocyte

    Temeke: Vijana zaidi ya 20 wa BAVICHA wadaiwa kukamatwa na Polisi

    Vijana hao wamevamiwa na Jeshi hilo walipokuwa wanajiandaa kuelekea Mbeya kwenye Maadhimisho ya siku ya Kidunia ya Vijana. Taarifa zaidi zitawajieni hapa hapa Jf, Usiondoke.
Back
Top Bottom