Mbunge wa Makete (CCM), Festo Sanga ametaka sababu za kutengwa fedha hizo kwa ajili ya Vijiji 48 Wilayani Mbarali wakati timu ya Mawaziri 8 imevifuta na havipo.
Amesema Serikali ilisaini mikataba 15 ya kuwezesha umwagiliaji na kuhoji nani atafaidika na fedha hizo wakati tayari Mawaziri wamefuta...