Wanajeshi wa Malawi, waliokuwa mashariki mwa DRC, kupitia SADEC, leo wamerudishwa nchini kwao.
Ni katika jitihada za kuhakikisha kusitisha mapigano kati ya serikali na M23 yanafikiwa kwa uhuru. Kuondoka kwao, kutaihakikishia M23 kuwa serikali ina nia ya kuleta amani ya kudumu.
=
BLANTYRE...