Mimi Mdau wa JamiiForums ninasema hivi, vikundi vingi katika jamii ni changamoto.
Vikundi vingi vimejikita katika:
1. Kusaidiana katika shida na raha, yaani hivi havina malengo zaidi ya kuchangishana pesa za misiba na sherehe mbalimbali ikiwemo harusi, sendoffs na birthdays. Changamoto kwenye...