vimbwanga kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    CCM Library: Vihoja vya WanaCCM wakiwa kwenye harakati za kuomba kura na kusaka teuzi!

    Wakuu, Wote tunajua kuwa Uchaguzi umekaribia na CCM kama kawaida wataanza kufanya vituko ili kupata huruma za wananchi. Kuelekea Oktoba Makada wa CCM wataanza kuosha vyombo, kuruka sarakasi, kupiga magoti n.k Tujumuike hapa kuweka picha na vibonzo kuelekea mwezi Oktoba
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Zawadi ya kimkakati: Mbunge wa Viti Maalum Stella Ikupa agawa kompyuta 34 kwa Jumuiya Ya Wanawake wa CCM

    Wanabodi, Hivi kweli kwenye nchi ambayo wanafunzi wanakaa chini na hawana hata vyoo huko mashuleni, mtu ambaye umeaminiwa na wananchi na wanawake wenzio kweli unaenda kugawa computers huko CCM? Wakati napita napita huko mitandaoni nimekutana na clip ya Mbunge wa Viti Maalum Stella Ikupa, akiwa...
  3. Mindyou

    LGE2024 Arusha: Wana CCM waandamana mpaka Makao Makuu ya CCM Arusha kupinga matokeo ya kura za maoni. Makada wajipanga kunyimana kura!

    Wakuu Mambo yanaonekana kuwa si shwari huko ndani ya Chama Cha Mapinduzi kama tunavyoaminishwa Siku ya leo wanakijiji wa Mtaa wa Viwandani, Kata ya Unga Limited, wameonyesha kutoridhishwa na uamuzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kumpitisha Rasuli Mshana kwenye kura za maoni WanaCCM hao...
  4. Waufukweni

     Waziri Aweso: Maji yapo, aagiza wafanyakazi wa DAWASA kutokaa ofisini "Wananchi wanahitaji maji"

    WaziriI wa Maji, Jumaa Aweso amewahakikishia wakazi wa Dar es Salaam na Pwani, upatikanaji wa maji safi na salama katika mikoa hiyo kwani changamoto ya hitilafu ya mtambo wa kuzalisha maji wa Ruvu juu tayari imerekebishwa. Waziri Aweso ameyasema hayo leo Oktoba 28, 2024 katika ziara ya kukagua...
  5. JF Toons

    Mitaa ya kwenu kimeshapita hiki Mdau?

    Wakuu, Kishingo anauliza, mitaa ya kwenu kimeshapita? Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  6. Mindyou

    Kitendo cha Mbunge wa Butiama, Jumanne Sagini kushiriki kwenye mbio za baiskeli ni kawaida yake au ndo propaganda za uchaguzi?

    Wakuu, Mbunge wa Jimbo la Butiama, Jumanne Sagini siku chache zilizopita alikaribisha kikundi cha waendesha baiskeli kinachoitwa TWENDE BUTIAMA. Soma pia: Sagini: Wenye vikundi muandae miradi itayowawezesha kukopa pesa ndefu nawapigia debe Kikundi hiki kiljumuisha waendesha baiskeli 84...
  7. Mindyou

    TAMISEMI wajitafakari! Tazama wanafunzi wa under 18 wakiwa wanapangishwa mstari mchana kweupe ili wakajiandikishe kupiga kura!

    Wakuu, Nikiwa napiga round mbili tatu mtandaoni nimekutana na video hii ambapo wanafunzi waliotajwa kutokea shule ya sekondari wakiwa wanapangishwa mstari wakajiandikishe kupiga kura. Mbaya zaidi kwenye hii video, huyu mzungumzaji anasema kuwa wanafunzi hao sio wakazi wa eneo hilo! Mbona...
  8. Cute Wife

    Pre GE2025 Maganya: Mtu hawezi kwenda kumshika mama mkwe sehemu za siri, na sisi hatutakubali mtu ambeze Rais Samia

    Wakuu, Hivi sisiemu mnatuaga wapi watu wajinga hivi? Unakuwa chawa basi angalau usiww chawa mzigo, wapiiiii, aibu tunaona sisi! Msikilizeni Fadhili Maganya (Mwenyekiti Jumuiya ya Wazazi Tanzania) akimwaga madini yake: Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea...
  9. Cute Wife

    Pre GE2025 Mpina apokelewa na jeshi la akiba Sakasaka, aahidi kupeleka drip 500 na mifuko 100 ya simenti

    Kampeni hazijaanza lakini mambo ni motoo, yaani kila anayepata nafasi ni mwendo wa kujipigia chapuo tuu, kama hakupeleka alivyosema atapeleka jimboni huu ndio muda wa kuviwasilisha! Wacha tuendelee kunywa mtori nyaa tutazikuta chini! Mpina amepokelewa kwa shangwe ya kutosha Sakasaka katika...
  10. peno hasegawa

    Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini, Priscus Tarimo unatambua uhitaji wa wananchi wako?

    Mh mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini Heri ya kwaresma. Nije kwenye hoja, kuna uwezekano mkubwa wananchi wa Jimbo la moshi mjini tena kupitia ticket ya ccm kukosa Kura Za maoni kama walivyofanya awali au kukosa ubunge 2025. Tatizo ulilonalo ni kutokutambua wananchi wako wanahitaji nini na...
  11. Cute Wife

    Pre GE2025 Bashungwa akiwa kilabuni na baadhi ya wananchi jimboni kwake wakimpigia chapuo Rais Samia pamoja na yeye kuchaguliwa tena 2025

    Wakuu na nyuki wa mama, Kweli tutaona mengi kabla ya uchaguzi 2025. Mkiwa mnawapa script hawa hata mfanye kuedit basi ili ziendane nao. Wananchi wanaongea unaona kabisa kasukua huyoo anatapika! Mngekuwa mnafanya kazi kweli na kuwajibika wala msingekuwa mnatumia nguvu kiasi hiki. Wananchi...
  12. Cute Wife

    Pre GE2025 Mbunge agalagala kwenye mchanga akimuombea Kura Rais Samia

    Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Geita, Rose Busiga amegaragara chini wakati akimuombea kura Rais Samia Suluhu Hassan na Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko wakati wa mkutano wa hadhara katika kijiji cha Bufanka kilichopo wilayani Bukombe. Akiomba kura hizo kwa lugha ya Kisukuma, mbunge huyo amesema...
  13. P

    Pre GE2025 Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

    Wakuu, Wabunge wameshaanza maigizo na mazingaombwe kuelekea uchaguzi mkuu 2025, wengine wanapanda baskeli, wengine wanaenda kula kwa mama ntilie, wengine wanapaki viete na kuingia na maguta, wengine wanakuwa majinjia ghala na kuanza kuendesha mitambo. Yaani ni hekaheka, patashika nguo...
Back
Top Bottom