vingunguti

Vingunguti is an administrative ward in the Ilala District of the Dar es Salaam Region of Tanzania. The ward lies south west of the Dar es Salaam central business district. According to the 2012 census, the ward has a total population of 106,946.The total number of residents at Vingunguti ward is 106,946 and 21868 households. It comprises six Mitaa, namely Mtambani, Mtakuja, Miembeni, Kombo, Butiama and Majengo.
The name Vingunguti is originated from the presence of long trees, so called Minguti in 1970 and that time there were two streets Wapendanao (Kombo) and Mtambani, the first school was known as TAPA which has provided pre-primary school and primary school from standard 1 to 4 level. In 1980 the streets was increased from two streets up to four streets as Mtakuja and Miembeni come up to the list. In 1990's Mlawa Dispensary was established near Miembeni area and goes to be the very first Health center in the area. The name comes from the Dr.Mlawa who was the doctor at Muhimbili Referral Hospital (Muhimbili National Hospital) who was living in Vingunguti.
The first primary schools in Vingunguti are Kombo and Vingunguti 'A' were established in early in 1980s then Mtakuja and Miembeni were come to the list in 2000. The only Secondary School to admit ordinary level students in the ward was Vingunguti Secondary School near Miembeni area in 2010.
Vingunguti Ward has a total of 4 dispensaries operating in the area namely Vingunguti (Mlawa), Emara, Tayma and Afya Bora. Sources of water are long and short (depth) wells, tap water and river water from Msimbazi River Valley. Source of income are entrepreneurship, business activities, trading activities, salary, salary from casual labor, house renting, local transportation services (bodaboda, bajaj and Taxi) along with whole sale and retail shops.
There are railways and all seasonal roads in the area used as the main means of the transportation. The common likely used food in Vingunguti is Cassava, beans, rice, maize flour (sembe), wheat flour, meat, potatoes and banana.Vingunguti also hosts the following;
Chai Bora a famous tea manufacturer based in Vingunguti.

View More On Wikipedia.org
  1. Waufukweni

    DOKEZO Bonde la Mto Msimbazi - Dar limeanza kuwa dampo, siyo jambo zuri kwa Afya ya Wakazi wa Vingunguti

    Katika pitapita za kila siku mtaani, hivi karibuni nilikatiza maeneo ya Vingunguti pembezoni mwa Bonde la Mto Msimbazi na kukutana na hali ya hatari kwa afya. Kiukweli mambo si shwari katika eneo hili, hasa usalama wa afya kwa wakazi waliozunguka eneo hilo. Kingo za mto huo zimegeuka kuwa...
  2. Chachu Ombara

    RC Chalamila: Kama huwezi kuishi kota za Magomeni, hamia Vingunguti

    Kila siku naona malalamiko kwenye ofisi yangu kutoka kwa wakaaji wa Magomeni kota mara wanalalamika bili ya Maji ni kubwa wameshindwa kulipa wengine wanalalamika kwamba bili ya taka imekuwa kubwa wakati hizo taka wanazalisha wenyewe hii inaonesha wameshindwa kukaa kwenye hizo kota. Nashauri...
  3. N

    DOKEZO Mamlaka ziko wapi? Machinjio ya Vingunguti karibia ng'ombe 100 wanapotea kila siku kwa uzembe wa kuchinja ng'ombe wenye mimba

    "Ukistaajabu ya Musa,Utayaona ya Firauni", katika hali ya kushangaza katika soko la Vingunguti lililopo jijini Dar es salaam ambapo huchinjwa zaidi ya ng'ombe 500 kwa kila siku, ni kwamba kati ya idadi hiyo karibia ng'ombe 100 huchinjwa wakiwa na mimba. Mara ya kwanza nilisikia suala hili...
  4. Iruru

    KERO Hewa chafu eneo la Mchicha Vingunguti

    NEMC na taasisi zingine za uthibiti, eneo la Mchicha Vingunguti kuna hewa kali sana ambayo ukipita lazima ushindwe kupumua na kupata kikohozi kikali. Watu wanasema sulphur inayotoka viwandani. Je, mmeamua kutua kwa sulphur baada ya kimbunga Hidaya kutusamehe?
  5. L

    Ujenzi wa nyumba maeneo ya Vingunguti na nyumba kumeguka tofali

    Habari wadau, Naomba ushauri kuna nyumba ya mzee wangu vingunguti imemeguka meguka sana matofali mpaka sehem zingine ndani zimefanya tobo unaona mpaka ndani nataka nimpe ushauri mzee ni namna gani anaweza kufanya renovation matengenezo kwenye hali hiyo je, afanyeje na kama kuvunja nyumba...
  6. M

    Madeleka kufungua kesi ili ukweli ujulikane kama waliouawa Vingunguti ni panya road

    Alichoandika Peter Madeleka. Hakuna “PANYA ROAD” anastahili KUULIWA bila kufikishwa MAHAKAMANI kwa mujibu wa KATIBA na SHERIA za nchi yetu. Nitakwenda MAHAMANI ili KUTHIBITISHA UONGO juu ya MAUAJI ya RAIA hao hapo. Upo USHAHIDI wa KIMAHAKAMA kwamba POLISI waliwahi KUUWA wafanyabiashara wa...
  7. Kingsmann

    Polisi: Vijana wawili waliouawa Vingunguti, Dar ni Panyaroad

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limethibitisha kuwapiga risasi zilizopelekea vifo vyao Vijana wawili Bakari Ismail (21) na Shomari Kacheuka maarufu Babuu (22) Wakazi wa Vingunguti Jijini Dar es salaam ambapo wamesema Vijana hao walikuwa Wahalifu (Panya Road) na kwamba mwenzao wa...
  8. Nassibuabdul

    Machinjio ya Vingunguti Dar es Salaam watu wanajisaidia ovyo, Serikali litazameni

    VINGUNGUTI -DAR MACHINJIO MACHAFU KULIKO YOTE TANZANIA Machinjio hayana vyoo, serikali naomba mkalitizame ili maana machinjio ni achafu kuliko kawaida. Uchafuzi wa mazingira, watu wanakojoa ovyo pamoja na kujisaidia ovyo.
  9. 3 Angels message

    Moto: Kinachodhaniwa kuwa kiwanda cha Jambo kinawaka moto

    Nimepita mida hii maeneo ya Vingunguti kuna moshi mkubwa sana angani ukitokea maeneo kilipo kiwanda cha jambo na watu wengi sana wafanyakazi na wananchi wengine wakiendelea kushuhudia kiwanda hicho kikiteketea kwa moto === Moto mkubwa umezuka mchana huu katika Kiwanda cha kuzalisha plastiki...
  10. Jemima Jackson

    TRA wagoma kufungua ofisi Vingunguti

    TRA Tanzania wagoma kufungua office za Vingunguti, wananchi wataka kuvunja mlango na kulazimisha wahudumiwe. Hadi muda huu milango imefungwa, walipa kodi wako nje na wengine wameamua kuondoka zao.
  11. Rwetembula Hassan Jumah

    Akatwa kidole Vingunguti, vibaka wazidi kuwaliza Wananchi

    Akatwa kidole Vingunguti, vibaka wazidi kuwaliza Wananchi kwa kuwapora mali zao. Jeshi la polisi tunaomba mkafanye kazi yenu Vingunguti.
  12. Hemedy Jr Junior

    Tatizo la umeme Vingunguti Dar es Salaam, leo siku ya tatu umeme hakuna

    Umeme unapokosekana tambua pia maji yanakosa, maana hawa jamaa DAWASCO na TANESCO baba mmoja. Tunaomba mrejeshe umeme Vingunguti, mnakataje umeme siku 3 bila taarifa? Mnatukosea sana.
  13. KING MIDAS

    Mjue Judith Mhina, mwanamama aliyetaka kuinunua Vingunguti na Buguruni Mnyamani kabla hajazuiwa na Hayati Magufuli

    Judith Mhina ni mkurugenzi wa makampuni ya PMM 2001 ESTATES LTD ambayo yanamiliki utitiri wa majumba na majengo Msasani, Mikocheni, Oysterbay na Masaki. Pia anamiliki eneo kubwa sana la bandari kavu Vingunguti Nyerere Road. Mama huyu alitaka kununua Vingunguti yote na Buguruni Mnyamani ili...
  14. Hemedy Jr Junior

    Nauza nguo Vingunguti Dar

    karibu kwa nguo za kike short dress na magauni bei chee 7k. Namba 0787616723 whstpp
  15. Crocodiletooth

    Kero: Abiria wa Vingunguti, Buguruni, hawatendewi haki na mamlaka za usafirishaji umma

    HAKUNA USAFIRI UNAOWAFIKISHA WAKAZI WA ENEO HILI MOJA KWA MOJA MPAKA FERRY. Abiria wa eneo hili wameomba kilio chao kusikilizwa na mkuu wa mkoa, kwani wamekuwa wakipata tabu sana, hivyo kulazimika kupanda mabasi mawili ili kufika ferry, ambayo kwao imekuwa ni mzigo mkubwa kutokana na maisha kwa...
  16. Crocodiletooth

    Kuna ubaya gani kwa serekali yetu kulitwaa eneo la vingunguti na kujenga makazi ya kisasa

    Ipo haja ya serekali yetu kuona umuhimu wa suala hili, kwa ni eneo ambalo lipo kilometre chache sana kutoka city center, linastahili kuwa upgraded n kufanana na maeneo ya upanga na kwingineko, pia ni eneo ambalo linaeweza kupangwa tukapata kariakoo 2,mpangilio wa ujenzi ufanywe kwa wenye...
  17. GENTAMYCINE

    CAF huenda wakaikataa Jezi Majengo, Vifusi, Minara na Machinjio ya Vingunguti ya Klabu Moja Tanzania

    Jezi za Klabu Bingwa na Shirikisho zonatakiwa ziwe na Uhalisia wa Soka ( Mpira ) tu na siyo kuwa na Jezi zenye Picha za Vifusi, Maghorofa na Machinjio ya Vingunguti. Kuna Timu Moja hapa Tanzania ( siyo Simba SC ) inaweza Kucheza Kifua Wazi ( Kidali Po ) Mechi zake za Klabu Bingwa Afrika ( hatua...
  18. Gama

    Gazeti la Mwananchi na habari kuhusu harufu mbaya Vingunguti

    Mimi hupenda kusoma magazeti kwa sababu mbalimbali. Katika magazeti ya nyumbani Gazeti la mwananchi halikosikani katika menu yangu pale inapowezekeana Mada Leo nimesoma article inayosema "Harufu kali machinjio ya Vingunguti yaleta kilio". Kilichonifanya kuandika humu si harufu wala kilio, ni...
  19. Ramon Abbas

    Car4Sale Funcargo inauzwa, Vingunguti Dar

    Bei ni 5mil. call 0713096076
  20. chiembe

    Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ludigija kwanini uliendesha bomoabomoa Vingunguti akikiuka agizo la Rais?

    Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale Chato ndio kwao na nduguye Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro. Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo. Je, huyu ni...
Back
Top Bottom