Serikali ya CCM tuliipa nchi yetu tangu 1961 tulipopata Uhuru. Tumewapa Kodi na rasilimali zetu zote ili watupatie huduma kwa miaka yote hiyo. Bila shaka wamefanya mengi yanayoonekana kwa macho ya nyama na yarohoni. Wana hofu gani inayosababisha kuwaogopa na kuwakamata akina Mbowe?
Tanzania...