Nchi zote zinazo wapatia matibabu viongozi mafisadi wa ki Africa ni muda Sasa wa kumuiga Trump Ili wawe wanatibiwa hapahapa(nchini mwao) kama JPM alivyokuwa anatibiwa Hadi kujifia hapa nyumbani.
Huu ndio uzarendo. Viongozi wetu Kila siku tunalia hospital hazina vifaa na madawa Wala hawajali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.