Hii kitu ni mbaya sana unakuta mtu anajiona sio binadamu wa kawaida.
Ni kweli umepambana kufika hapo ila jitahidi kuheshimu watu wote awe kapuku, Awe tajiri, Awe asiye na elimu, Awe na elimu, (heshima, heshima, heshima).
Kuweza kupata chochote kwa mda utakao hakukufanyi usiwe binadamu wa...