Wanajamvii Bwana yesu asifiwe!
Leo ni jumapili siku ya ibada sisi KKKT ni siku ya watoto wetuu (ni sikukuu yao) moja vitu vinanikereketa moyo wanguu ni hawa viongozi wa serikali hii inayojiita awamu ya sita wakati kiuhalisia ni ya Awamu ya tano ni kutumia muda mwingi kusema Samia, kila mahali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.