viongozi vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Hawa wazee wanaojirudia madarakani tumekosa mbadala kweli?

    Habari wananjamvi, Sidhan wnavijana waliosoma wanafurahia kuona haya. YAAN KUNA wakati unawaza inasoma ili iwe nn? Unapambana kuwa mwanasiasa ili uwe nani Na hii n kutokana na muendelezo wakuona baadhi ya wazee wakiwa wanaopishana tu pale juu Leo kaingia huku mwingine kule Siku unahisi...
  2. cutelove

    LGE2024 Rais Samia, vijana tunataka tuwe viongozi, tunaomba sheria ya mgombea binafsi ili tupate nafasi kwenye vyama vya siasa, ni ngumu vijana kupenya

    Tunapoelekea uchaguzi wa 2025 nakuomba mama Samia na Serikali yako itunge sheria na kubadili katiba ya kuruhusu mgombea binafsi ili vijana tusio na maokoto tupate nafasi ya kugombea udiwani, ubunge na Urais. Kwa hali ilivyo kwenye vyama vya siasa ni ngumu sana kupenya kwa sababu ya wajumbe...
  3. K

    Barua kwa viongozi vijana. Badala ya kuiga watangulizi badilisheni mfumo

    Ndugu zangu viongozi na viongozi watarajiwa, Hii nchi yetu pedwa haitabadilishwa na viongozi wa sasa ambao wamefundishwa kufanya kila wafanyanalo kuhudumia viongozi wenzao badala ya kuhudumia taifa. Viongozi ambao wanafikiria watapata vipi pesa kutokana na kodi na rushwa. Viongozi ambao...
Back
Top Bottom