Mungu ni Alfa na Omega. Sijui ikiwa CCM ni lango la ufalme wa mbinguni wanaheri wanaoikimbilia! Ole wenu ikiwa CCM ni lango la kuzimu nisawa na kumwabudu mfalme Sanekarebu kwa kuogopa kuuawa!!
Nimemuona Ambwene Mwasongwe, Bella Kombo, Christina Shusho, Martha Mwaipaja, Askofu Anthony Lusekelo...