Wadau hamjamboni nyote?
Taarifa rasmi kutoka Ikulu ya white house
Rais wa taifa la Marekani Joe Biden amefanya kikao na waheshimiwa Viongozi wa dini ya kiyahudi - Judaism
Kikao hicho kilihudhuriwa na watu wachache sana maalumu.
Maelezo zaidi kuhusu kikao nyeti yatatolewa.
Mungu ibariki...