Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI Mhe. Mohamed Mchengerwa amekemea migogoro na mivutano baina ya Viongozi wateule na wale wa kuchaguliwa katika maeneo mbalimbali, akisema suala hilo linakwamisha dhamira nzuri ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kuwatumikia...
Nimekuwa nikijiuliza Kuwa Viongozi wote walioteuliwa wana furaha kweli au Ndio huogopa hata kucheka.
Mbona kama wanaishi maisha ya hofu sana Jamani maana kama mkeka ukisoma Jina halipo hiyo nayo ni shida nyingine.
Wanapaswa kuishi vipi hawa watu ili wawe na furaha na wafanye kazi kwa ufanisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.