Whethe mpango huo wa kitapeli utafanikiwa ama laa, lakini mwisho wa siku pesa ndio itakayo wagombanisha na kuvuana nguo hadharani uongozi mpya wa chadema. Ni suala la muda tu kwa jambo hilo kutokea.
Baada ya kuacha misingi ya kuanzishwa kwake, Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema...
Wengi watachafukwa sana dhidi ya mchakato wa uchaguzi utakavyokua unaendeshwa, na zaidi sana watavurugwa zaidi na matokeo ya uchaguzi huo ambao ni wazi utagubigwa na vurugu, fujo na songombingo za kabokamchizi kama zote.
Baadhi ya viongozi waaandamizi wa CHADEMA Taifa watapokelewa kesho kwenye...
Hakuna haja ya kujipiga kifua, kujidanganya na kuhadaa umma eti chadema hakuna mgawanyiko wala mafarakano na vita ya chini kwa chini miongoni mwa viongozi wake wa andaminizi, hasa kambi ya mwenyekiti taifa na makamu mwenyekiti wa Chadema taifa.
Ukweli usemwe ndrugu zango kwenye changamoto za...
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Amos Makalla, ameeleza kupata ukakasi mkubwa kuhusu hatua ya kiongozi ambaye ni mwanasheria na anayejua haki na demokrasia, lakini anakataa kutumia haki yake ya kupiga kura. Hili limejitokeza baada ya Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, kutotimiza...
amos makalla
ccm
chadema
haki ya kupiga kura
kuelekea uchaguzi 2024
kujiandikisha kupiga kura
kupiga kura
serikali za mitaa
tundu lissu
viongoziwaandamizi
vyama vya siasa
Haijafahamika bado, lengo lao ni nini hasa mpaka kufikia hatua ya kutofautiana uelekeo na viongozi wengine waandamizi ndani ya chadema.
Yawezekana vita na joto la uchaguzi wa nafasi za juu za uongozi zilizobaki, bado ni kali mno ndani ya chadema, kila moja anapambana kutafuta kuungwa mkono...
Kufanya hivyo ni kuhujumu na kukwamisha kwa makusudi jitihada kabambe, dhamira na nia njema ya ya Rais na kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan kuipaisha Tanzania kimaendeleo.
Kumbukeni maneno haya ya busara aliyowahi kuyasema hayati Rais wa awamu ya pili wa Tanzania Alli Hassan...
Katika kitabu chake cha THE 48 LAWS OF POWER, muandishi Robert Greene ameeleza kinagaubaga tahadhari muhimu sana, mila, desturi, utamaduni na maisha ya viongozi dhidi ya mamlaka za juu yao.
amefafanua maonyo na makatazo ya maana sana kwa viongozi watawala na wasaidizi woa, juu ya namna bora ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.