viongozi waandamizi chadema

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Tlaatlaah

    Pre GE2025 Viongozi waandamizi CHADEMA wame-stack, hawaelewi maana ya 'no reform, no election', anayejua maana yake ni Tundu Lissu pekee!

    No reform no elections ni agenda ya kuwapotezea uelekeo wa kisiasa chadema na kuwapoteza kabisa kwenye ramani ya siasa. Hakuna alie na uhakika ikiwa chadema watashiriki au hawatashiriki uchaguzi mkuu, kwasababu ya utata wa agenda hiyo ya mwenekiti wao isiyo na mashiko wala tija. Hakuna...
  2. Tlaatlaah

    Tetesi: Viongozi wengi waandamizi wa CHADEMA wakubali yaishe kwa amani, wengi wao wanatarajiwa kutimkia CCM kuliko vyama vingine vya siasa

    Unadhani ni nini kimewavutia hata wakuamua kukimbilia zaidi CCM kuliko vyama vingine vya siasa? Ni ukata wa fedha wa kutisha ulioko ndani ya vyama hivyo vya siasa nchini au ni ufinyu wa fursa za kazi na nafasi ya kubaki relevant kwenye political scene na angalau kula maisha kidogo na wana CCM...
  3. Waufukweni

    Pre GE2025 Freeman Mbowe: CHADEMA ina Mashujaa wasiokata tamaa, ni bora tufe tumesimama kuliko tuishi tumepiga magoti!

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe, ameibukia Kanda ya Kaskazini kwenye kikao cha kazi, siku chache baada ya uzushi wa tukio la kupewa sumu. Katika hotuba yake, Mbowe alikumbusha dhamira ya kuanzishwa kwa chama hiki miaka 33 iliyopita, akisisitiza kuwa...
  4. Tlaatlaah

    Kuna viongozi waandamizi CHADEMA, wanaohujumu mipango ya maandamano kwa makusudi kwa nia zao kisiasa, je wapongezwe au walaumiwe?

    Haijafahamika bado, lengo lao ni nini hasa mpaka kufikia hatua ya kutofautiana uelekeo na viongozi wengine waandamizi ndani ya chadema. Yawezekana vita na joto la uchaguzi wa nafasi za juu za uongozi zilizobaki, bado ni kali mno ndani ya chadema, kila moja anapambana kutafuta kuungwa mkono...
  5. Tlaatlaah

    Chadema haina kabisa uwezo wa kupambana na rushwa iliyokithiri miongoni mwa viongozi wake waandamizi

    Zaidi ya mara moja kiongozi wake muandamizi ambae pia ni makamu mwenyekiti wa Taifa wa chama hiki amebainisha wazi na kulalamikia jambo hili baya kabisa, linalokwamisha mambo mengi sana kusonga mbele ndani ya Chadema na mahali pengine popote. Rushwa. Alilizungumzia jambo hili la rushwa nje ya...
Back
Top Bottom