NA AMRAT KOMBO, ZANZIBAR
Usawa wenye hadhi sawa unamaanisha kwamba watu wote katika jamii wanapaswa kuwa na fursa sawa za kushiriki katika ngazi ya maamuzi na uongozi. Hali hii inategemea muktadha wa kisiasa,kiuchumi na kijamii .
Ingawa kuna ongezeko la uwakilishi wa wanawake katika Bunge...