Tulidanganywa sana
1. Eti kuna mtu alikuwa akipata mil 7 kwa sekunde kupitia EFD
2. Eti nchi inajenga miundombinu kwa hela za ndani wakati mikopo inakopwa kimyakimya
3. Eti tumeingia uchumi wa kati wakati ilikuwa uongo kabisa.
4. Kuna ajira elfu 13 zilitangazwa kwa mbwembwe sana kumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.