vipanga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Wale Vipanga wa Form 4 & Six wanaokuwa kumi bora huwa wanakwenda wapi? Wangetusaidia kwenye kesi za Usuluhushi

    Nimekuwa nikijiuliza mara nyingi hivi hawa vijana wanaoshika nafasi za juu kwenye matokeo ya kidato cha Nne na Sita ambao kimsingi huwa na ufaulu wa Division 1.7 kwa Form Four na 1.3 kwa Form 6 huwa wanaishia wapi? Kwasababu najua kuna wengine huwa wanasoma Sheria, kwanini wasingekuwa...
  2. mdukuzi

    Suala la DP World ni IQ Test kwa Watanzania, tumewajua vilaza na vipanga

    Kuna watu walionekana wana IQ kubwa kumbe ni vilaza wa kutupa, kuna wengine tuliwachukulia poa kumbe kichwani zimo. Tumeshawajua vilaza wa Taifa na vipanga wa Taifa. Mtu anadiriki kusema kuwa wengine wanahoji kuhusu bandari wakati hawapajui bandarini,mwingine anahoji kuwa bsndari ilianzishwa...
  3. D

    Kwanini wanafunzi wengi wenye uwezo mkubwa darasani huwa watundu na wasumbufu?

    Mara nyingi sana katika safari yangu ya elimu, walimu wamekuwa na tabia ya kusema kwamba uwezo wa mwanafunzi darasani lazima awe anawahi namba, hapigi kelele, awe mara hivi mara vile lakini unakuta wale vipanga wanaokuwa na uwezo (sio wa kariri) na maanisha wale waliokua wanaweza kusolve kila...
Back
Top Bottom