vipimo vya habatani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Assa Makanika aishauri Serikali kuangalia upya sheria ya vipimo vya habatani katika ziwa Tanganyika (Kigoma) ili kuondoa urasimu mkubwa uliopo

    "Ifahamike mpaka sasa tunaposimama kama Wabunge wa Mkoa wa Kigoma bado mahitaji yetu hayajatekelezwa ndiyo maana tunasimama kukumbusha na kuieleza Serikali sikivu ili iweze kufahamu namna gani watu wa Kigoma tunahitaji. Mikoa yote ya Tanzania imekwisha kuunganishwa kwa Barabara za Lami, imebaki...
Back
Top Bottom