Umasikini na ujinga ni jambo baya sana. Watu wa tiba mbadala wanatapeli sana watu.
Ususani kwenye mambo wanayosema ni vipimo eti wana kipimo cha kupiga mwili mzima, na hicho kipimo mtu anashika kama pensel wanakutajia magonjwa kibao.
Pia wana kipimo kama kioo unaweka mkono wako kwenye kioo...