vipindi vya televisheni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Me and me

    Maudhui ya vipindi vya wanawake katika televisheni za Tanzania yatazamwe upya

    Salaam, Vipindi mbalimbali vya harakati za wanawake vinavyorushwa na Televisheni za hapa bongo vinavyoendeshwa na Watangazaji machachari Vina maudhui chonganishi(kwa mtazamo wangu). Yaani Ni kama vinaonyesha au vinachochea Hali ya Ukinzani iliyopo kati ya Mwanaume na Mwanamke katika jamii ya...
  2. realMamy

    Umewahi kujifunza kitu gani kipya kwenye vipindi vya televisheni na Radio?

    Mimi binafsi nikitazama Televisheni huwa napenda kubadilisha badilisha ili nipate hata kipindi chochote nitakachojifunza kitu kipya kitakachonipa faida. Mara nyingi mambo ni yaleyale huku kule ni shidaa.
  3. P

    Taja vipindi vya televisheni vinavyoharibu maadili ya Kitanzania

    Mimi naanza na kipindi Cha Dadaz. Hiki kipindi sijawahi kukielewa kabisa lengo lake ni nini. Kwanza mda wote watangazaji wanaongea bila kupeana zamu ya kuzungumza. Na zaidi nachoona kinalenga kuwafanya mabinti wengi wasiolewe kwa jinsi kinavyopandikiza mbegu ya jeuri, ujuaji, ubabe na ukorofi...
Back
Top Bottom