Imeelezwa kuwa Wananchi wamepiga Kura ya 'Ndio' kwenye mabadiliko ya Katiba yaliyopendekezwa na Serikali iliyomuondoa madarakani Ali Bongo na kumteua Jenerali Brice Oligui Nguema kuongoza taifa hilo.
Kwa mujibu wa taarifa ya Waziri wa Mambo ya Ndani, Hermann Immongault, Mabadiliko hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.