vipodozi haramu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Hivi kwanini wanawake wa “Daslamu” wanajichubua sana?

    Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo. Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto. Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati. Naiomba serikali...
  2. V

    DOKEZO Vipodozi vilivyopigwa marufuku vinauzwa kama njugu Matu-Kitetoi, serikali iingilie kati

    Tunaomba Serikali yetu sikivu iangalie hili janga la Vipodozi Haramu vinavyouzwa kama njugu hapa Matui na bwana moja anayejieta ni Agent wa Vipodozi kutoka Congo, Zambia na South Africa, huyu mtu ambae anajieta Jina la hivyo Vipodozi anauza hadharani hivyo Vipodozi ambavyo vimepigwa Marufuku na...
Back
Top Bottom