Wikiendi iliyoisha nilikuwa kwenye jiji lenye fujo daslam. Hili jiji kila mwanamke unaekutana nae anatumia mkorogo.
Alaf wanatumia mikorogo bila kutumia sunscreen matokeo yake wanakuwa wekundu kama kitimoto.
Daslam kwasasa ukikutana na mwanamke mweusi ujue una bahati.
Naiomba serikali...
Unadhani ni nini kinasababisha tatizo la dawa za kupunguza na kuongeza mwili (Kujenga Shape) na vipodozi vyenye madhara kuendelea kuwepo nchini licha ya madhara yake kujulikana? Unapendekeza hatua gani zichukuliwe ili kuondoa changamoto hiyo nchini?
Pia soma: Umeshawahi kununua dawa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.