viroba

Biroba is a form of Hindu god Shiva. Biroba is the kuldaivat of Dhangars of Maharashtra State. There are many temples of Biroba in villages of Maharashtra. In Hunnur (taluk: Mangalwedha), Arewadi (Dist: Sangli), Katphal (taluk: :Sangola, Pattankodoli, Pangari(Satara) there are temple of Biroba. Biroba is brother of Mayakka devi.
The god Mahalingraya or Mahalingeshwar is the student of Biroba(called Birling in Karnataka) and their temples are situated on the Maharashtra and Karnataka border in Huljanti. Festival (i.e. jatra in Marathi) of both gods is celebrated for 5 days from the first day of Hindu festival Diwali.
Temple of Biroba:

Virbhadra Mandir, Sakur Mandhave, Sangamner, Ahemadnagar, Maharashtra

View More On Wikipedia.org
  1. Fuqin

    Natoa huduma ya kuprint viroba

    Natumaini nipo poa kabisa!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninatoa huduma ya kuprint viroba vya kg 50,25,10,5 kwa bei nafuu kabisa ... Ofisi ipo Tandale sokoni namba ya simu ni 0674 864 371... Viroba unaweza kuweka unga au nafaka mbalimbali Bei zetu ni nafuu sana Kg50 ni 800 Kg25 ni 600...
  2. Pdidy

    Tunakataza viroba tunarudisha vipombe vya ajabu wanaachaje kunywa wamebadili package tu

    Nimeonaaa majuzi tbs wanaaswa kuhusu ongezeko la vijana kunywa pombe kupitiliza na kufa gafla. Shidaa sioo kunywa vijana wananyweshwa gongo virobaa kilichobadilika n package tu. Hii kitu niliwahi kuilaan haoaapa lile zoezi la kupiga marufuku viroba mchangawamacho unakuja. Imagine kina kampuni...
  3. and 300

    Mashahidi wa ICC walipotezwa kwenye viroba?

    1. Kama mnavyokumbuka vurugu baada ya uchaguzi Mkuu 2007/08 zilisababisha mauaji ya watu kadhaa. Kesi ikapelekwa Mahakama ya ICC-The Hague, 2. Watuhumiwa wakiwemo - Uhuruto na wengine wakaitwa kwenye kesi - The Hague kufika kwenye mashahidi ni ama upokee mlungula na ukaushe au uharibu ushahidi...
  4. Winga dalali

    Nahitaji Viroba rejected/used

    Habari wana jamii forum Natumai mu wazima Tafadhali naomba kuuliza mwenye chimbo la mifuko ya 20kg /25kg kama ya azania/azam ambayo inakua rejected lakini mizima ambayo haijatoboka inawezakua imekosewa kua printed au kiwandani baada ya kuimalizia shughuli Mahitaji ni kuanzia 1000pcs -3000pcs...
  5. GENTAMYCINE

    Baada ya kugundua kinachofanyika 'behind the Scene' hasa kwa Bendi za Dansi Afrika acheni tu Bia na Viroba vitengenezwe na Bangi ilimwe sana tu

    Nilikuwa najiuliza sana inawezekana vipi Watu wanaimba na kucheza zaidi ya Saa 8 na hata hawachoki ila jibu nimelijua.
  6. Mcheza Piano

    Hivi kwanini vijana wa CHADEMA walikuwa wanahusishwa na Viroba?

    Ndugu yangu Yericko Nyerere na makada wengine nikwanini mna nasibishwa na pombe kali aina ya viroba?
  7. George Betram

    Mifuko ya viroba inahitajika

    Habari? Nahitaji mifuko ya viroba (kilogram 50). Nipe connection, kama muuzaji yupo nicheki tufanye biashara.
  8. A

    DOKEZO Maringo, Kawe kuna wenzetu wanaziba mitaro ya barabarani kwa viroba ili wapate maji ya kumwagilia maua

    Eneo la Kawe katika Kituo cha Daladala cha Maringo kuna hali ambayo imekuwa ikinikera kwa muda mrefu, mitaro inayopotisha maji inazibwa kwa makusudu kwa kutumia viroba na vijana wanaofanya biashara ya kuuza maua ‘original’, yaani yale maua halisi, wanafanya hivyo ili wapate maji ya kumwagilia...
  9. Winga dalali

    Biashara ya mifuko (viroba)

    Habari, zenu wanajukwaa poleni na majukumu pia kheri ya kuvuka mwaka. Wanajukwaa nauliza sehemu ya kupata mifuko ya 25kg ile ya unga mfano wa azam, azania. Pia natafuta mifuko ya gunia nzito kwa jumla kwa Dar es Salaam. Anayejua chimbo au bei anijuze. Plz mwenye kujua aandike na bei.
  10. FRANCIS DA DON

    Hakuna mjadala, Visungura vinaua nguvu kazi ya vijana, havina tofauti na viroba, serikali itoe tamko juu ya mauaji haya ya makudi

    Wapo watakaosema kwamba hakuna anaelezimishwa kunywa hivyo visungura, fine, ila imetosha sasa. Vipigwe marufuku, pombe kali za kiwango hiki hazipaswi kuwa readily available kiasi hiki kama bigijii. Waweke either kwa packaging ya ujazo mkubwa zaidi ili isizagae na kununuliwa hovyo kama karanga...
  11. R

    Beach boy aeleza jinsi walivyokuwa wanaibua miili ya watu kwenye viroba

    Msikilize hapa akielezea kuhusu hilo akisema ni katika mambo ambayo hatokuja kusahau katika maisha yake yote. Akiulizwa ni tukio gani hatalisahau kamwe kwenye maisha yake Joseph Benard AKA Pongo Mnyama - Beach boy amesema; Kuna kipindi walikuwa wanaopoa maiti za watu kwenye viroba zilizokuwa...
  12. chiembe

    Askofu Pengo ana upendo na watanzania? Awamu ya tano wakati wanaokotwa kwenye viroba na kupigwa risasi hakuongea! Ni rafiki mkubwa wa Makonda

    Najiuliza sana kuhusu huyu askofu lakini makosa jibu. Askofu Pengo alikuwa mtu wa karibu sana wa waandamizi wa awamu ya tano. Wakati huo hakufungua mdomo wake kukemea chochote kile, japo baadhi ya watanzania, na pengine waumini wake aliowabatiza na kuwahibiria upendo, waliokotwa ndani ya viroba...
  13. Dr Matola PhD

    Supplier wa mifuko (viroba) ya kilo 25 na kilo 50 wa jumla jumla anahitajika

    Mambo yasiwe mengi, Nahitaji supplier mwenye mfuko ya kilo 25 na kilo 50 kwa bei ya jumla alete quotation yake na contact au physical address tufanye biashara. Karibuni.
  14. K

    Tafuteni njia bora, Vicoba ni upotevu wa pesa!

    Kwa sisi wataalamu wa Fedha huwezi kuita uwekezaji kama hakuna vitu viwili Risk & Return. Sijui kwa kiswahili nisema vipi. Vicoba ni wizi tu maana pesa haiendi kwenye uzalishaji wowote lakini kibaya ukitoa pesa kuna faini. Hivyo Fedha mnaweka bank ambako kuna fees bila riba, hakuna faida yoyote...
  15. figganigga

    Bora tukose umeme na Maji kuliko watu kupotea na kuokotwa kwenye Viroba baharini Coco Beach

    Salaam Wakuu, Nape Nnauye aliwahi kusema "Bahari imetulia, Mwenyezi Mungu ameamua ugomvi". Kuna utawala uligubikwa na Sintofahamu ya Watu kupotea, kufa, kubambikiziwa kesi. Utawala uliteneza kundi la watu wasiojulikana ambao kazi yao ilikuwa kumshughulikia yoyote atakayekuwa na Mawazo mbadala...
  16. Analogia Malenga

    Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye

    Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM. Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania. Sijui...
  17. P

    Maiti bado zinaokotwa ndani ya viroba, tutubu dhambi ya kumsingizia Hayati JPM la sivyo itaendelea kututafuna

    Watanzania tunapenda sana kutengeneza habari za uongo. Ni kipaji fulani kisichofaa kuwa sifa ya mtu lakini ndio ukweli kwamba tunacho na tunapenda kukiendeleza. Uvumi unaweza kusambaa haraka sana mpaka mhusika anapokuja kukanusha tayari habari zinakuwa zimeshambaa kila kona na uongo wa kutungwa...
  18. BARD AI

    Waziri Masauni aagiza uchunguzi maiti zilizookotwa kwenye viroba

    Waziri wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, Hamadi Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi kuhakikisha linafanya uchunguzi wa kina ili kubaini waliohusika na mauaji ya watu wawili na kuwatupa wakiwa kwenye viroba. Maiti hizo ziliokotwa Agosti 11, 2022 zikiwa kwenye viroba katika kata ya Tunguli...
  19. Mpinzire

    Tanga: Miili ya watu yaokotwa ikiwa kwenye Viroba

    Gazeti la Nipashe la Agosti 17, 2022 limebeba kichwa cha habari "Miili ya Watu yaokotwa kwenye viroba" TANGA: MIILI YA WATU YAOKOTWA IKIWA KWENYE VIROBA Miili ya watu wawili imeokotwa ikiwa imefungiwa ndani ya mifuko ya sandarusi 'viroba' katika Kitongoji cha Dibabara, Kijiji cha Kwastemba...
Back
Top Bottom