viroba

Biroba is a form of Hindu god Shiva. Biroba is the kuldaivat of Dhangars of Maharashtra State. There are many temples of Biroba in villages of Maharashtra. In Hunnur (taluk: Mangalwedha), Arewadi (Dist: Sangli), Katphal (taluk: :Sangola, Pattankodoli, Pangari(Satara) there are temple of Biroba. Biroba is brother of Mayakka devi.
The god Mahalingraya or Mahalingeshwar is the student of Biroba(called Birling in Karnataka) and their temples are situated on the Maharashtra and Karnataka border in Huljanti. Festival (i.e. jatra in Marathi) of both gods is celebrated for 5 days from the first day of Hindu festival Diwali.
Temple of Biroba:

Virbhadra Mandir, Sakur Mandhave, Sangamner, Ahemadnagar, Maharashtra

View More On Wikipedia.org
  1. Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

    Kwa akili ya kawaida utamtenga vipi makamu wa rais ambae ni msaidizi mkuu wa rais wa JMT. Kwa hiyo impliedly kama maiti ziliokotwa na watu kutekwa hovyo makamu wa rais hakujua na kuhusika? Kama alijua huu ni uovu usiofaa alipaswa kujitenga nao kabisa na ikibidi kujiuzulu. Vipi kuhusu ile...
  2. M

    Bora kunywa gongo na viroba kuliko ushabiki wa mpira madhara ni makubwa zaidi

    Madhara ya ushabiki wa mpira unaoendelea kutamalaki Tanzania ni makubwa sana kuliko ulevi mwingine katika jamii(NAONGELEA “USHABIKI” SIO MAPENZI YA MICHEZO YA KAWAIDA) Umesababisha uvivu uliokithiri hasa mikoa ya pwani na baadhi ya miji ya mikoani Umesababisha wanafunzi, watoto wadogo kuanzia...
  3. Kipo wapi kiwanda cha kutengeneza viroba vya kuhifadhia nafaka?

    Naombeni msaada wandugu. Nataka kujua kilipo kiwanda Cha kutengeneza mifuko ya plastic yaani Yale maroba kama yale wanauzia mkaa na kuhifadhia mahindi. Natanguliza shukrani.
  4. K

    Biashara ya mifuko ya viroba, ukubwa wa debe 6 na kuendelea

    Ndugu zangu, Naomba kujua wapi naweza pata mifuko hiyo kwa bei ya jumla kuanzia pic 1000. Aina kama inavyo onekana kwenye picha, kwa Dar es salaam, wapi inazalishwa au kuuzwa jumla.Asanteni. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Dar, Zanzibar: Hofu Maiti 15 zikikutwa kwenye viroba

    Wavuvi na wafanyabiashara katika masoko na minada ya samaki ya Kunduchi, Ununio na Feri jijini Dar es salaam wanaishi kwa hofu baada ya kuwepo kwa taarifa za kuopolewa miili 15 ya watu baharini ikiwa imewekwa katika mifuko maalumu kama viroba, Bara na Zanzibar. Kwa mujibu wa chanzo cha uhakika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…