katika harakati za mahusiano, uchumba na pengine ndoa, kuna visa na mikasa mbalimbali hutokea, mingine ya kufedhehesha na ya aibu, ya kutia moyo, nguvu na ya kukatisha tamaa...
Ni mkasa au kisa kipi huwezi kisahau kwa kufupi? Na kisa hicho kilikupa nguvu au kilikukatisha tamaa?:DisGonBGud:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.