Na hii ni pamoja na hujuma za makusudi kutoka kwa wanachama, wapambe na viongozi wa mgombea wa kambi pinzani watakaokuwemo uongozini.
Infact, bila umakini kwenye hili, chadema will be no more in Tanzanian political scene.
Watatumia kila aina ya mbinu kukwamisha malengo na mipango mahususi ya...