Kwa project hii ataweza kunywesha maji watu takribani laki tano.
Nchi alizozigusa ni Kenya, Zimbabwe, Uganda, Somalia na Cameroon
Kwa msiemjua Mr beast, ni youtuber ambae kipato chake huki wekeza katika michezo ya kusaidia watu kifedha na projects za kusaidia jamii.
Hongera kwake...