Afrika Kusini ilipata uhuru mwaka 1994 kutoka kwa utawala wa ubaguzi wa rangi, je ni kwanini? Miongoni mwa sababu zilizochangia ni ubaguzi wa rangi katika mataifa ya Ulaya na Marekani pamoja na vita baridi.
1. UBAGUZI WA RANGI
Wapigania uhuru wa Afrika Kusini walipuuzwa walipojaribu kuomba...
Ndugu wadau. JamiiForums ni sehemu nziri ya Kupata elimu- Tuangalie misuko suko waliopitia ndugu zetu wa dini ya kikiristo.
Vita vya madhehebu ya Kikristo vinahusisha migogoro na mapambano kati ya makundi mbalimbali ya Wakristo wenye imani tofauti ndani ya Ukristo. Hapa chini ni mifano ya vita...
Katika siku mbili hizi tumeshuhudia waingereza waliochoshwa na vitendo vya wahamiaji hasa hasa wale wa kiislam, kujichukulia sheria mkononi na kushambulia maeneo ya waislam.
mfano walianzisha moto msikitini na kule Belfast Northern Ireland tumeshudia waprotestant na wakatoliki kuweka tofauti...
Still dunia ina big brothers, Rutto alipokaribishwa meza kuu na NATO akasahau wachina wamewekeza mapesa mengi, na Russia inapigana na NATO..
Rais wa sasa wa South Africa ni pro western.
Dola milioni kadhaa wanayumbisha nchi, Non Allignment is the way to go.
Rutto pro western, Raila Pro...
Amani iwe nanyi nyote.
Kuna jambo moja naliona na si kuona tu
Kila mwenye Biashara analalamika
Wafanyabiashara wa magari wanalalamikia LATRA na TRA Kwa uwepo wa ukwamishshaji na kutengeneza mambo Magumu ili kufungua mwanya wa rushwa, Mifumo kutoingiliana Nikiwa na maana kwamba Unapoanza kufanya...
Mikhail Gorbachev alikuwa mmoja wa watu mashuhuri katika siasa karne ya 20.
Aliongoza kuvunjwa kwa Muungano wa Sovieti ambao ulikuwepo kwa karibu miaka 70 na ulikuwa umetawala sehemu kubwa za Asia na Ulaya Mashariki.
Hata hivyo, alipoanzisha mpango wake wa mageuzi mwaka 1985, nia yake pekee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.