vita congo

Association Sportive Vita Club, more commonly known as AS Vita Club, AS V. Club or simply Vita Club, is a Congolese professional football club based in Kinshasa.

View More On Wikipedia.org
  1. N

    Wakristo 70 wamekutwa wamekatwa vichwa kanisani DRC

    Wakristo 70 wamepatikana wakiwa wamekatwa vichwa katika kanisa moja katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), katika shambulio la hivi punde dhidi ya waumini kaskazini mashariki mwa nchi hiyo. Kulingana na vyanzo vya habari, mnamo saa nne asubuhi Alhamisi iliyopita (13 Februari) washukiwa...
  2. Kama unataka Ukuu wa Wilaya nenda DRC. M23 imetangaza kuunda Serikali mpya huko Kivu pamoja na kufanya teuzi

    Waasi wa M23 wameunda Serikali mpya nchini DRC kwa kumteua Kanali Bahati Musanga kuwa Gavana wa Jimbo la Kivu Kaskazini, manaibu Gavana wawili, Willy Manzi na Shadary Bahati, Meya wa Jiji la Goma, pamoja na Wakuu wa Wilaya. M23 imetangaza uteuzi huo wiki moja baada ya kuuteka mji wa Goma, huku...
  3. Mfahamu kiongozi wa waasi wa M23

    Kiongozi mkuu wa makundi ya waasi mashariki mwa Kongo Corneille Nangaa, Nangaa ni mfano wa viongozi wengi wa dunia ya tatu. Nangaa sababu ya yeye kuingia kwenye uasi anasema ni kwamba alipokuwa mkuu wa tume ya Uchaguzi ya nchi hiyo maarufu kama CENI alishirikiana na mteule wake Rais Joseph...
  4. Video: Maneno ya Kusikitisha ya Mwanajeshi wa DRC

    Tumezeeka kwenye vita Tumezaa Watoto kwenye vita Maisha yetu ni tabu tupu Kila siku kutanga Tanga Hatuogopi kifo Kwa sababu bila Nchi hakuna maisha. https://x.com/PolycarpMDM/status/1884236594225504315?t=Mmhl4wkXi0f7tnDfNiNRFw&s=19 My Take M23 & DRC Wake chini wamalize tofauti zao,mipaka na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…