vita israel palestina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. bahati93

    Vita ndio mchezo wa wanaume

    Wasalaam. Nimekaa chini na kutafakari ili kujua upi ni mchezo sahihi kwa wanaume wa kweli kati ya michezo yote iliyopatwa kubuniwa, wanaume wa kweli nikimaanisha wale marijali, wale wenye roho ngumu wasiojali majelele ya walimwengu bali maamuzi yao. Hakika vita a.k.a kuuana ndio mchezo wa...
  2. K

    USA na Umoja wa Ulaya ni wanafiki sana

    Ona Watoto wanavyohuawa huko Gaza na Jeshi la Israel eti wanashambulia Hamas. Anayempa kiburi Israel ni Marekani anazidi kikumbatia kwa ujinga anaofanya lakini mbona Russia amewekewa vikwazo chungu nzima kutoka kwa Marekani na Washirika wake lakini Israel hata hawaongei chochote hakuna vikwazo...
  3. U

    Taarifa njema Mke wa Waziri Mkuu Victoria mteule Uingereza ni myahudi, Mungu ibariki Israel

    Wadau hamjamboni nyote? Hii ni habari njema kwa Wana Israel mke wa Waziri Mkuu mteule Uingereza aendaye kwa jina la Victoria Starmer ni myahudi Mungu ibariki Israel Victoria Alexander was raised in north London. Her father is a former accountant from a Polish-Jewish background and her mother...
  4. Webabu

    Israel yazidi kunywea Gaza, yasema vita vimebadilika

    Miezi mitatu mbele tangu shambuliao la kihistoria la Hamas hapo oktoba 7 mwaka 2023, kwa mara ya mwanzo Israel imekiri kwamba vita vimebadilika. Msemaji wa jeshi la Israel katika mhojiaano na gazeti la New York times amedhihirisha hali hiyo ya mshangao. Msemaji wa Jeshi la Israel, Daniel...
Back
Top Bottom