Salaam, Shalom!!
Mikwara ni mingi duniani Kwa sasa, mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.
Silaha nzito za maangamizi Kila Taifa kubwa linazo, ni kutishana tu, haitakuwepo vita kuu ya tatu ya Dunia Kwa mfumo huu kama wengi wanavyodhani.
Kinac.hoendelea hivi sasa ni tetesi tu za vita sawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.