vita vya gaza

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. U

    Rais wa zamani wa Marekani Donald trump amtaka Netanyau amalize vita vya Gaza mapema kabla hajarejea Ikulu ya Marekani kuwa Rais kwa mara nyingine

    Wadau hamjamboni nyote? Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, amemwambia Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuwa anataka Israel imalize vita vya Gaza kabla ya yeye kurejea madarakani iwapo atashinda uchaguzi, vyanzo viwili vilivyo na taarifa juu ya suala hili vimeeleza kwa The Times of Israel...
  2. Sehemu ya 2: Ajenda za Masih Dajjal, vita vya Gaza, Lebanon, Syria (Mashariki ya Kati ) na kuzaliwa taifa la Kiyahudi la Israel

    Sehemu ya 2 Kila sifa njema zinamstahiki Mungu wa pekee aliyetupa uzima, afya na ufahamu wa mambo haya. Rehma na amani ziwe nao manabii wa Mungu wote wakiongozwa na nabii wa mwisho nabii Muhammad swalla lllahu alayh wasallam pamoja MASIH Issa bin Maryam ( Yesu Kristo ) Ndugu zangu nichukue...
  3. Gueteres aliponda baraza la usalama la umoja wa mataifa. Aliambia limeshindwa kazi na limepitwa na wakati.Kigezo ni kushindwa kuzuia vita vya Gaza n,k

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa mara nyingine tena amesimama kidete kusimamia maadili ya baraza hilo kwa kukosoa jinsi linavyoshindwa kutekeleza majukumu yake. Bwana Gueteres amerudia kwa kusema muunda wa baraza la usalama ambalo lina wajumbe wanaotumia kura ya veto ndio umekuwa kikwazo kwa...
  4. Vita vya Gaza vikifikisha muda wa uchaguzi wa Marekani hakutakuwa na kusitishwa vita tena bali kutangaziwa ushindi Hamas

    Kwa ufundi na subira za hali ya juu Hamas wameweza kuhimili kipigo kizito cha Israel na washirika wake mpaka umefika mwaka mmoja hapo Septema 7. Uzito wa vita hivyo umeonekana na kila upande ambapo mpaka sasa kikwazo kikubwa ni waziri mkuu wa Israel,Benjamin Netanyahu ambaye anaona aibu...
  5. Houthi kufanikiwa kuzamisha meli ya tatu kabla Vita vya Gaza kusitishwa

    Meli moja iitwayo Sounion iko mbioni kuzama baada ya wanamgambo wa Houth kuishambulia kwa makombora mfululizo wakiwa kwenye boti ndogo ndogo huko bahari nyekundu karibu na Yemen. Meli hiyo iliyokuwa ikitokea Iraq kuelekea Ugiriki ilikuwa ina mabaharia 25 ambao tayari wameshaokolewa wakati meli...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…