Nilikua nina biashara ya uwakala na Kaduka kadogo ka vyakula hapa mtaani na nilikua napata Riziki ya kulisha watoto na kulipa kodi si haba, basi kuna watu wawili wakafungua biashara kama yangu kwa fujo vitu wanashindana kuuza bei ya promotion.
Mimi nikaona isiwe tabu nikatoa mtaji wangu nika...