Ukitoa DRC au Congo ambayo hadi sasa zaidi ya watu million 12 wameuliwa. Sehemu nyingine ni Ethiopia
Ethiopia watu wanauana kama Kuku kisa ukabila. Serikali ya watigray iliyoongoza kwa miaka 30 ilisababisha ukabila uwe mkubwa kwa kutengeneza serikali au vyama vya kikabila vya majimbo.
Kuna...