vitabu vitakatifu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. matunduizi

    Naamini kama hakungekuwa na vitisho vya kuhama dini. Watu wengi wasingekuwa kwenye dini zilizopo

    Nimegundua watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari. Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2. Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja...
  2. Crocodiletooth

    Kila mwanadamu angeliweza kuitambua hadithi ya uzao wake, angelikuwa na hadithi kubwa ya ujazo wa vitabu vitakatifu

    Wale wenye maono mapana na marefu mnalitafakari vipi hili!
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Sheria na Katiba ya nchi sidhani kama inatambua kuna vitabu vitakatifu. Utakatifu wa vitabu unapimwa na nini?

    Kwema Wakuu! Nimeona tujadili Jambo hapa kuhusu baadhi ya kauli za Watu hasa viongozi wa kisiasa wanaposema vitabu vitakatifu, sijajua wanazungumzia vitabu vipi. Na hivyo vitabu vinavyozungumziwa je kisheria au Katiba ya nchi yetu inatambua kuna vitabu vitakatifu? Nini vigezo vya kitabu...
  4. mdukuzi

    Mapadri na mashehe wanavuta sana sigara. Je, hawajui kuwa hiyo ni dhambi mpya iliyosahaulika kuwekwa kwenye vitabu vitakatifu?

    Kwenye miaka ya 60 kushuka chini sigara ilionekana ni kitu cha fahari kutumia,ni mpaka wataalam wa afya walipogundua zinasababisha kansa, sigara ikaonekana ni kitu hatari kwa afya. Hata mwalimu nyerere kavuta sana sigara enzi zake. Nafahamu mapadri kadhaa wa kanisa katoliki wanaovuta sigara...
  5. T

    Nini maana ya Ushirikina kwa mujibu wa vitabu vitakatifu?

    Ahlan wa sahla Kwa mujibu wa vitabu vitakatifu Torati, Zaburi, injili na Quran , Mungu amekemea sana kuhusu hii dhambi ya ushirikina. Ama kwa hakika ndio amri ya kwanza aliyopewa Musa ktk zile amri kumi ili awaongoze wana wa izraeli. Kwenye kitabu kitakatifu cha Quran vivyo hivyo imekemewa...
  6. B

    Vitabu vitakatifu vimekataza kuabudu miungu. Je, kuanzisha uchifu siyo kupingana na maagizo ya Mungu? Wanasiasa mnamkufuru Mungu

    Nchi imekuwa ngumu kutawalika, tunawatafuta machifu Kwa lengo lakuwatumia Kwenye Siasa 2025. Hii inatokana na ukweli kwamba wale wanaoitwa machifu siyo viongozi wa kimila Bali ni wazee wastaafu wenye kadi ya Chama cha Mapinduzi. It's like Jumuiya ya wazazi imeshindwa kuaminika nakufanya kazi...
  7. Mkulungwa01

    Naishi kwenye misingi ya vitabu vitakatifu - Koran na Biblia

    Eti haki sawa, haki sawa na nani? Mimi hata nikiitwa nina mfumo dume, nipo tayari. Wanaume wengi wamesahau na kupoteza nafasi zao na thamani zao na ndiyo maana wananyanyaswa mno. Kwangu mimi ndiye kichwa cha nyumba, mke wangu hawezi kutoka kwenda matembezi au kwao bila ruhusa yangu, regardless...
Back
Top Bottom