vitafunwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Mpishi wa vitafunwa

    Habari wana jf nahitaji mpishi wa bites akiwa wa kiume ni vizuri zaidi ofisi ipo kibaha visigakwa mawasiliano zaidi 0772348885
  2. J

    Dkt. Mwigulu: Tutabana Matumizi kwenye chai, vitafunwa, safari ndani na nje ya nchi na semina. Viongozi watumie usafiri wa pamoja ziarani!

    Waziri wa Fedha Dr Mwigullu ameagiza maafisa maduhuli kuanza kubana Matumizi kwenye Chai Vitafunwa Safari ndani na nje ya nchi na Semina. Kadhalika viongozi wanapokuwa kwenye safari yenye lengo moja basi watumie usafiri wa pamoja badala ya kila mmoja kwenda na gari yake. Source: TBC
  3. M

    Natafuta kazi sales and marketing, customer service au data entry.

    Habari za mchana viongozi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
  4. Inasikitisha! Ona taarifa zetu za benki zinavyotumika kufungia vitafunwa

    Ku-share data/taarifa binafsi imekuwa muhimu katika kufanya kazi zetu za kila siku na kushirikiana na watu wengine katika jamii. Mwingiliano wetu na mashirika na taasisi mbalimbali unahusisha ubadilishanaji wa data/taarifa binafsi. Hizi data/taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokuhusu, iwe...
  5. K

    Biashara ya kuuza vitafunwa

    Wakuu naomba kujua biashara ya vitafunwa kama inalipa. Nina mtaji wa sh 300,000/= je, naweza kufanya biashara hii kwa mtaji huo, namaanisha vitafunwa kama maandazi, sambusa, chapati, eggchop, kababu nk: vitafunwa hivyo vikiambatana na juice, soda na maziwa. Kwa aliyewahi kufanya biashara hii...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…