vitendo vya kikatili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. EstherSaid

    Ni Nini sababu ya shinikizo la vitendo vya kikatili nchini Tanzania Kwa Sasa?

    Nimejaribu kutafakari mnoo swala hili la matukio ya kikatili nchini hususani mikoani Dodoma😭 majibu kamilifu sina. Ila Mimi naona kwa sector ya masuala ya Imani kumelegea mno🥲. Watu hawana tena hofu ya Imani zao yaani Mungu 😒 kwa sababu kwa matukio haya. Kwa kweli Watanzania hofu ya Mungu...
  2. Bams

    Rais Samia, Kama upo serious kutaka kukomesha watekaji na wauaji, toa amri ya kukamatwa wote wenye mwelekeo wa kuwa na mwingiliano na watekaji

    KWenye jambo hili la utekaji na mauaji halijaanza na ndugu Yetu Ali Kibao. Limekuwepo kwa muda sasa huku likilindwa na baadhi ya watu wente namlaka. Kama kweli Rais unataka kuwapata wahusika kamili na kujua nafasi zao kwenye huu ushetani, ungetoa maelekezo wafuatao wakamatwe mara moja: 1)...
  3. figganigga

    Rostam: Tuungane kukomesha vitendo vya kishetani katika nchi yetu. Poleni CHADEMA

    TAARIFA YA ROSTAM AZIZI KUFUATIA MAUAJI YA KIONGOZI WA KISIASA Katika siku za karibuni nchi yetu imeshuhudia kujirudia tena kwa matukio ya kikatili ambayo yamehusisha kuripotiwa kwa vitendo vya utekaji, utesaji na jana tukashuhudia tukio baya zaidi la mauaji ya kiongozi wa Chadema, Ndugu...
  4. Robert S Gulenga

    Watanzania tumefikia hatua ya kuwa Wanyama, roho mbaya kiasi cha kufikia kurecord tu Mtanzania mwenzetu anauwawa na Wapita njia?

    Alibaba maisha zaidi ya Watanzania 60, je ni kweli tulichoweza kumsaidia Mtanzania mwenzetu akiuwawa na Watu ambao sio Watanzania ni kurecord video? Unauma saaana, inatafakarisha saaana, Hivi hiki kitengo hiki kinafanyika Kenya au Rwanda ingekuwaje? Anyway itoshe kusema Wanaume wote mlio...
  5. A

    KERO Huyu mtu amekuwa hatari kwa kuwafanyia watu vitendo vya kikatili hapa Bonyokwa

    Kuna mtu anaitwa Pius hapa Canada Bonyokwa amekuwa akiwafanyia vitendo vya kikatili watu tofauti tofauti Hwa anawakamata bodaboda na kuwachukulia pesa kwa nguvu. Anachojivunia yeye kuwa ni mgambo pale Staki Shari hata ukienda kushtaki kesi yake inakuwa yako Tunaomba mamlaka husika zitusaidie...
  6. M

    Kuna haja ya Tanzania kupitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa watuhumiwa wa vitendo vya kikatili

    Serikali itazame hili suala kwa jicho la tatu, ukatili unaoendelea katika jamii ni unyama wa hali ya juu, watoto wadogo kubakwa na kulawitiwa paka kufa (mtoto wa miezi sita DODOMA), mauaji ya binadamu(Mganga aliyepatikana na miili ya watu aliowazika hai), watu kupotea katika mazingira tatanishi...
  7. Bushmamy

    Arusha: Mzee ashilikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaomba watoto wadogo wa kiume wamwingilie kinyume na maumbile

    Mzee mmoja ajulikanae kwa jina la Daniel Epiniel ambaye ni mpangaji katika nyumba ya Bwana Joseph Mollel iliyopo Kata ya Sekei jijijini Arusha, anashikiliwa na Polisi baada ya kutuhumiwa kuwarubuni watoto wadogo wa kiume chini ya umri wa miaka 10 wamwingilie kinyume na maumbile. Mwenye Nyumba...
  8. Mkalukungone mwamba

    Babati: Kijana auwawa kikatili na mwili wake watupwa dampo

    Hali ya taharuki imeibuka katika eneo la kuhifadhia taka katika mtaa wa Oysterbay Mjini Babati kufuatia kuokotwa kwa mwili wa kijana ambaye haujafahamika, aliyeuwawa kikatili na kufunikwa na takataka katika eneo hilo. Tukio hilo la mwili kukutwa dampo limetokea Agosti, 24 mwaka huu Hata hivyo...
  9. R

    DOKEZO Sakata la binti wa Yombo lilishatokea kama hilo Kilindi -Tanga

    Habari zenu wanajukwaa. Nimatumaini yangu kwamba mmeamka salama salmin. Moja kwa moja kwenye mada ni kwamba lipo sakata linalofanana na la binti wa Yombo ambapo limetokea wilayani Kilindi mkoani Tanga. Ni zaidi ya wiki kama tatu hivi tangu tukio hilo lifanyike lakini rushwa ndio inatembea...
  10. N

    LHRC walaani vikali tukio unyanyasaji wa kijinsia linalodaiwa kutokea Temeke

    Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani vikali kitendo cha kikatili cha unyanyasaji wa kijinsia kilichoripotiwa kumuhusu msichana mmoja kutoka Dar es Salaam,wilaya ya Temeke, Kata ya Makangarawe, Mitaa ya Msakala na Dovya, karibu na Shule ya Msingi Yombo Dovya.
  11. K

    Kesi ya Mwalimu "kuruhusu" kulawitiwa na Mwanafunzi wake, serikali ichunguze mawakala wa kueneza ushoga mashuleni

    Kumekuwa na ongezeko kubwa sana na la kasi la wimbi la ushoga kwenye jamii yetu kuanzia kwenye familia, mtaani hadi mashuleni Mwalimu wa kiume anapofikia hatua ya kumshawishi mwanafunzi wake amlawiti sio kwamba amekosa mabasha wa kumfanyia hivyo. Binafsi naamini anafanya hivyo kimkakati...
  12. O

    Songwe: Mbaroni akidaiwa kumuua mumewe akishirikiana na hawara

    Jeshi la Polisi mkoani Songwe linamshikilia mwanamke mmoja na mtu mwingine anayedaiwa ni hawara yake kwa tuhuma za mauaji ya mme wa mwanamke huyo kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi. Watuhumiwa hao ambao majina yao hayajatajwa wanadaiwa kumuua Victor Mwakapenda (41), mkazi wa mtaa wa...
Back
Top Bottom