Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) kikiongozwa na wakili Boniface A.K Mwabukusi kimetoa tamko zito lililoweka wazi hali ya kusikitisha inayolikumba taifa. Kwa mujibu wa tamko hilo, kumekuwa na ongezeko la matukio ya kutekwa, kupotea, na kuteswa kwa watu nchini...
chama cha wanasheria tanganyika - tls
kutekwa na kuteswa
matukio ya utekaji
tls yakemea utekajivitendovya kukamatwa
vitendovyautekajiwatuwatu kupotea
watu kutekwa
watu wasiojulikana