vitu used

Vitus (), whose name is sometimes rendered Guy or Guido, was a Christian martyr from Lucania. His surviving hagiography is pure legend. The dates of his actual life are unknown. He has for long been tied to the Sicilian martyrs Modestus and Crescential but in the earliest sources it is clear that these were originally different traditions that later became combined. The figures of Modestus and Crescentia are probably fictitious.According to his legend, he died during the Diocletianic Persecution in AD 303. In the Middle Ages, he was counted as one of the Fourteen Holy Helpers. In Germany, his feast was celebrated with dancing before his statue. This dancing became popular and the name "Saint Vitus Dance" was given to the neurological disorder Sydenham's chorea. It also led to Vitus being considered the patron saint of dancers and of entertainers in general. He is also said to protect against lightning strikes, animal attacks and oversleeping. His feast day is celebrated on 15 June. In places where the Julian calendar is used, this date coincides, in the 20th and 21st centuries, with 28 June on the Gregorian calendar.

View More On Wikipedia.org
  1. msomi duni

    Ushauri juu ya biashara ya kuuza na kununua vitu used (furniture na electronics)

    Habari wadau wa JF kama mada inayojieleza hapo.. Natamani kuanza huu biashara kwa wenye uzoefu nayo nipeni ushauri nini vya kuzingatia
  2. W

    Wale mnaopenda kununua vitu used muwe makini sana, epuukeni zaidi kununua hizi bidhaa zinaweza kuwatia ndani ama kutoboka mifuko.

    1. Simu - Ni biashara iliyoshamiri sana kwenye vitu used lakini wengi zimewingiza kwenye matatizo, mtu kanunua simu laki 4 au zaidi haoni shida kutoa elf 50 polisi waifatilie, yani ukinunua simu iliyoibiwa ukipachika tu laini yako tayari ushadakwa kwa taarifa zako ulizosajilia laini na makadirio...
  3. 90sgeneration

    Unahitaji kitu/bidhaa gani new au used kwa bei rahisi nikuletee?

    Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote. Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe leather sofa,or fridge , or tv, Ac, printer au chochote kile, but bei ya mpya dukani iko juu sana...
  4. Mjanja M1

    Tusinunue vitu Used jamani

    Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu. Ngoja nikuelezee kidogo, 1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used. 2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza...
  5. Mributz

    INAUZWA VITU USED TOKA U. K friji, zulia za mtumba na n. K

    ZULIA ZA MTUMBA BEI 70K NJOO (0718909429) Friji ndogo laki 2 Pasi 50k
  6. 90sgeneration

    SOKO: Wanaohitaji kununua vitu used kwa bei ndogo pitieni hapa

    Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu. Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure. Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale...
  7. G

    Biashara ya vitu used

    Wakuu Nina goli ninauza vitu used mfano majembe, nyundo, nyaya za umeme used, swichi used, pasi za mkaa used Na makorokoro mengine wapendwa nahitaji sapoti yenu ya hali na mali Nimeyumba kimtaji kidogo pia kama kuna mtu ana bidhaa tajwa hapo juu anaweza niuzia kwa bei nzuri pia, kama...
  8. February Makamba

    Ushauri jamani, nimeshaharibu sinunui tena vitu used

    Wakuu kwema? Mimi kijana wenu mtiifu nimekuja kwenu nikiwa na majanga naomba mnisaidie. Nilinunua simu mtandaoni kupitia kupatana.com, niliona bei ni nzuri nikamcheki jamaa nikachat nae kwenye hiyo website na akanipa namba. Nikampigia kwa simu ya kawaida maana namba haikuwa WhatsApp, tukaongea...
  9. monotheist

    Aliyewahi kwenda Zanzibar kununua vitu vya electronic bei ipoje?

    Wajuvi nina mpango wa kwenda zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi
  10. Shomary47

    Biashara ya kununua na kuuza vitu used

    Leo naomba kupata maoni Juu ya biashara ya kununua na kuuza Vitu Used vya majumbani mfano Furnitures, Vyombo, TV, Vingamuzi, Fridges, vitanda, magodoro n.k... Kuna watu ambao wanahama mikoa, wanahamishwa kikazi na wale ambao Wanauza Vitu vyao Kwakua wanashida na pesa ya haraka. Watu hawa...
Back
Top Bottom