Vitus (), whose name is sometimes rendered Guy or Guido, was a Christian martyr from Lucania. His surviving hagiography is pure legend. The dates of his actual life are unknown. He has for long been tied to the Sicilian martyrs Modestus and Crescential but in the earliest sources it is clear that these were originally different traditions that later became combined. The figures of Modestus and Crescentia are probably fictitious.According to his legend, he died during the Diocletianic Persecution in AD 303. In the Middle Ages, he was counted as one of the Fourteen Holy Helpers. In Germany, his feast was celebrated with dancing before his statue. This dancing became popular and the name "Saint Vitus Dance" was given to the neurological disorder Sydenham's chorea. It also led to Vitus being considered the patron saint of dancers and of entertainers in general. He is also said to protect against lightning strikes, animal attacks and oversleeping. His feast day is celebrated on 15 June. In places where the Julian calendar is used, this date coincides, in the 20th and 21st centuries, with 28 June on the Gregorian calendar.
1. Simu - Ni biashara iliyoshamiri sana kwenye vitu used lakini wengi zimewingiza kwenye matatizo, mtu kanunua simu laki 4 au zaidi haoni shida kutoa elf 50 polisi waifatilie, yani ukinunua simu iliyoibiwa ukipachika tu laini yako tayari ushadakwa kwa taarifa zako ulizosajilia laini na makadirio...
Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote.
Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe leather sofa,or fridge , or tv, Ac, printer au chochote kile, but bei ya mpya dukani iko juu sana...
Ningependa kuwashauri wanaume wenzangu kuwa mnapotoa hela zenu ili mpate kitu fulani hakikisheni hicho kitu ni kipya na hakijatumiwa na mtu.
Ngoja nikuelezee kidogo,
1) Kitu kilichotumika mara nyingi huwa sio bora ndio maana kinauzwa kama used.
2) Ukinunua kitu used ni dhahiri kuwa alieanza...
Wakuu habari, nilitaka kuwasahau wana Jf wenzangu.
Nitakua nawapostia katika uzi huu vitu tofauti tofauti used tu na kwa bei sawa na bure.
Najua pia humu kuna vijana wenzangu wanaoanza maisha, kuna watu ambao uchumi wao haujakaa vizuri hivyo wangehitaji vitu kwa bei ya chini, pia kuna wale...
Wakuu
Nina goli ninauza vitu used mfano majembe, nyundo, nyaya za umeme used, swichi used, pasi za mkaa used
Na makorokoro mengine wapendwa nahitaji sapoti yenu ya hali na mali
Nimeyumba kimtaji kidogo pia kama kuna mtu ana bidhaa tajwa hapo juu anaweza niuzia kwa bei nzuri pia, kama...
Wakuu kwema? Mimi kijana wenu mtiifu nimekuja kwenu nikiwa na majanga naomba mnisaidie.
Nilinunua simu mtandaoni kupitia kupatana.com, niliona bei ni nzuri nikamcheki jamaa nikachat nae kwenye hiyo website na akanipa namba.
Nikampigia kwa simu ya kawaida maana namba haikuwa WhatsApp, tukaongea...
Wajuvi nina mpango wa kwenda zanzibar kununua vitu used vya electronic kama ps3, ps4 na computer je hivi vitu vinapatikana kwa bei rahisi kweli na upatikanaji wake upoje na vipi kuhusu kodi
Leo naomba kupata maoni Juu ya biashara ya kununua na kuuza Vitu Used vya majumbani mfano Furnitures, Vyombo, TV, Vingamuzi, Fridges, vitanda, magodoro n.k...
Kuna watu ambao wanahama mikoa, wanahamishwa kikazi na wale ambao Wanauza Vitu vyao Kwakua wanashida na pesa ya haraka. Watu hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.